Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 5 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 5 Guests :: 1 BotNone
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
SEMINA / WORKOSHOP
2 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
naomba muongozo
nikiwa kama afisa ugavi na manunuzi katika moja ya taasisi ys serikali ya mapinduzi zanzibar, nakua napata changamoto kali siku hadi siku kwa kule kukosa muongozo wa sheria uliopo kamili kama ule wa Act ya 2004 ya Tanzania bara. kimsingi na kiukweli Act ya tanzania bara ipo sambamba ya inaendana na mazingira ya kufanya kazi za manunuzi ndani na nje ya Tanzania, hali haipo sawa na Act ya Zanzibar ambayo inaonekana kuwapa Fever watendaji wakuu wa taasisi ambao walipaswa kuwa wasimamizi wakuu wa fedha, aidha chombo kilichoundwa kwa ajili ya kuratib na kusimamia harakati za manunuzi na ugavi ndani ya serikali ya zanzibar hakipo active i.e hakuna watendaji walipo compitant kulingana na mahitaji na mazingira ya zanzibar, wapo walio na uhaba wa taaluma ktk fani ya manunuzi, kuna wavivu, wapo wazembe na hata wale waliozoea kufanya kazi kimazoea kama wanakosha vyombo nyumbani kwao. kimsingi na kiutaalamu, idara ya uhakiki mali iliopo ndani ya wizara ya nchi afisi ya raisi fedha uchumi na mipango ya maendeleo ilipaswa kua na sifa, tabia na mwendo kama ule uliopo PPRA wenye uhakika wa kusimamia haki na wajibu wa kila mdau(stakeholder) katika manunuzi.Kiujumla sheria ya zanzibar ni ngumu kuifanyia kazi za manunuzi na hivyo ndo ugomvi wa kila siku kati maafisa wanunuzi na mabosi wao kwa kule ambako maafisa wengi husoma huku dar kutumia Act ya tanzania na kufanya kazi kwa miongozo ya Act ya zanzibar iliosheheni makosa na migogoro ya kimaslahi jambo ambalo huwapa tabu maafisa waliobobea na Act ya tanzania 2004 iliopo sawa kiutendaji. ukiwaelekeza wakubwa wanadai "fanya unaloambiwa kisha utakuja hubiri izo kanuni zako" we kila siku sheria sheria ' kwani umeitunga wewe"? wangapi wanafanya kazi hawafati sheria ndo tuseme hawajui kazi au?
Re: SEMINA / WORKOSHOP
Mr. Zuberi,
Ulichokisema ni sahihi kabisa kwa platform hii inatakiwa iende mbali zaidi ya hapa kwani inasadia sana katika masuala mazima ya kupsahan habari, kuelimishana. Mimi katika forum hii ninaiona kama mbadala wa semina na workshop ambayo huwa ninaipata nikiwa mezani ofisini au popote ninapokuwa na mtandao kutokana na mada zinazoletwa na kujadiliwa humu.
Binafsi ndio maana nimeomba kwa moderator au wahusika wa kuiangalia forum hii waongeze kipengere hata cha kuweza kuweka kiambatanisho mtu anapokuwa na issue anaweka ili aweze kushare kwenye forum. Mfano ulioutoa kama semina au workshop imetangazwa gazetini basi mtu hata anaweza kuscan kipande cha gazeti ili kuwapasha habari wana forum humu.
Ulichokisema ni sahihi kabisa kwa platform hii inatakiwa iende mbali zaidi ya hapa kwani inasadia sana katika masuala mazima ya kupsahan habari, kuelimishana. Mimi katika forum hii ninaiona kama mbadala wa semina na workshop ambayo huwa ninaipata nikiwa mezani ofisini au popote ninapokuwa na mtandao kutokana na mada zinazoletwa na kujadiliwa humu.
Binafsi ndio maana nimeomba kwa moderator au wahusika wa kuiangalia forum hii waongeze kipengere hata cha kuweza kuweka kiambatanisho mtu anapokuwa na issue anaweka ili aweze kushare kwenye forum. Mfano ulioutoa kama semina au workshop imetangazwa gazetini basi mtu hata anaweza kuscan kipande cha gazeti ili kuwapasha habari wana forum humu.
id2013- Posts : 50
Join date : 2013-07-17
SEMINA / WORKOSHOP
Kutokana na umuhimu mkubwa wa kushiriki katika semina mbali mbali zinazoendeshwa na PPRA pamoja na PSPTB ambazo zinalenga kukuza ufanisi na vipaji vya utendaji katika fani hii yenye kuhitaji ujasiri na uchapakazi wa hali ya juu, naomba,napendekeza na pia nashauri kila inapotokezea kufanyika semina hizi alau siku 3 kabla tuwe tunaarifiana hapa au hata kupitia email zetu ili kupata fursa ya kuweza kushiriki katika semina hizi huku tukizingatia kua kama mtaalamu hapati kushiriki katika semina basi utaalamu wake huenda ukapungua nguvu za kiutendaji baada ya mda mdogo.Kiimani ni kua semina zinatupatia nguvu na njia za kuondoa au kupambama na changamoto mbali mbali zinazojitokeza katika shughuli zetu za kila siku katika manunuzi. Nimatumaini yangu kua wenzangu mliopo hapa mtakua mnaleta taarifa za semina kila zinaposikika kwa kuwa wengine inaua sio rahisi kupata taarifa kabla ila tunakuja kuipata taarifa ukipiga simu au kumtembelea mtendaji ofisini kwake unaambiwa yupo semina ya PPRA AU PSPTB siku 3-4
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK