Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there is 1 user online :: 0 Registered, 0 Hidden and 1 Guest :: 1 BotNone
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
2 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Re: MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
GWK, sidhani kwa mujibu ya terms and conditions za mkata kuishia Polisi ndiyo remedy ya kuchelewa miradi/mikataba. Lingine ni kwamba wanaotoa maagizo hayo siyo sehemu ya mkataba (third party). It's so sad!
RJM- Posts : 260
Join date : 2009-07-30
Age : 73
Location : What is written without effort is in general read without pleasure
MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
"watakaochelewesha miradi sasa kuishia Polisi" Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kwa wingi habari za matukio ya makandarasi kuwekwa ndani au kutishiwa kuswekwa ndani endapo hawatamaliza kazi za mikataba ndani ya muda wanaopewa. Kwa mawazo yangu, kukamilika kwa mradi ndani ya muda hakutegemei utendaji wa mkandarasi peke yake bali wadau wote wa mkataba wakiwemo washauri na wenye miradi kila mmoja kutimiza jukumu lake kwa wakati. Mikataba inavifungu vinavyoelekeza hatua za kuchukuliwa dhidi ya mdau yeyote endapo kuna uzembe wowote katika kutekeleza mkataba. Ni mawazo yangu kuwa adhabu yote ya kuchelewa kwa utekelezaji inatupwa juu ya makandarasi tena adhabu ya kuwekwa ndani ambayo haipo kimikataba.
Nimewahi kuona mshauri amechelewa kuidhinisha michoro kwa wakati na mwenye mali amechelewa kutoa idhini kwa miezi nane lakini mzigo wote ukatupwa kwa mkandarasi ambaye kwa bahati mbaya hakuwa na nafasi ya kujitetea. Niombe wadau wote wa mikataba tutimize majukumu yetu kwa wakati ili kutopelekea viongozi kuingilia kati kwani inaaibisha watendaji wote ambao kimsingi ndio wenye mikataba na taratibu za kuhakikisha kazi zinakamilika kwa wakati
Hayo ni mawazo yangu nakaribisha maoni
Nimewahi kuona mshauri amechelewa kuidhinisha michoro kwa wakati na mwenye mali amechelewa kutoa idhini kwa miezi nane lakini mzigo wote ukatupwa kwa mkandarasi ambaye kwa bahati mbaya hakuwa na nafasi ya kujitetea. Niombe wadau wote wa mikataba tutimize majukumu yetu kwa wakati ili kutopelekea viongozi kuingilia kati kwani inaaibisha watendaji wote ambao kimsingi ndio wenye mikataba na taratibu za kuhakikisha kazi zinakamilika kwa wakati
Hayo ni mawazo yangu nakaribisha maoni
GWK- Posts : 55
Join date : 2014-03-24
Age : 56
Location : DAR ES SALAAM
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK