Tanzania Public Procurement Forum
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Navigation
 Portal
 Index
 Memberlist
 Profile
 FAQ
 Search
Latest topics
» HOW TO REGISTER A COMPANY FOR PPRA PROCUREMENTS
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyWed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com

» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyTue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM

» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyTue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM

» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyThu Dec 12, 2019 5:48 am by pms

» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptySat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR

» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyThu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms

» e-Procurement System is now operational
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyThu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin

» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyThu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme

» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili EmptyMon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK

May 2024
MonTueWedThuFriSatSun
  12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  

Calendar Calendar

Statistics
We have 1676 registered users
The newest registered user is esagile

Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 5 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 5 Guests

None

[ View the whole list ]


Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

4 posters

Go down

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili Empty Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

Post  GWK Thu Mar 01, 2018 9:43 pm

RSM Nyaraka za kiswahili ziko wapi nazitafuta sizioni.
Kama bado zipo kwa kweli ni za muhimu sana nifahamisheni. Jamii yetu ya Tanzania inazihitaji sana

GWK

Posts : 55
Join date : 2014-03-24
Age : 57
Location : DAR ES SALAAM

Back to top Go down

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili Empty Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

Post  Rutaihwa Thu Sep 29, 2011 5:41 pm

RSM wrote:Kwanza naomba niipongeze PPRA kwa kuanzisha majadiliano ya ununuzi katika sekta ya umma kwa kutumia kiswahili. Kuna wadau wengi ambao walikuwa wanapenda kuchangia lakini tatizo ilikuwa ni lugha.

Niliwahi vile vile kuingia kwenye tovuti ya PPRA ambapo nilikuta nyaraka za zabuni kwa kiswahili.

Haya ni maendeleo mazuri. Wadau tuwapongeze PPRA kwa kazi yao nzuri.


Nami pia naunga mkono ,suala hili ni jema sana.

Rutaihwa

Posts : 58
Join date : 2011-09-29
Age : 57

Back to top Go down

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili Empty Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

Post  mauka Wed Aug 17, 2011 8:46 pm

Kwanza, Nami niwapongeze PPRA,kwa kazi nzuri wanayoendelea kuifanya hasa hasa katika utumiz wa kiswahili katika ununuzi wa bidhaa. Ni ukweli uliodhahir kuwa matumiz ya kiswahili katika nyaraka mbalimbali kama tulivoona katika nyaraka za zabuni. Siyo tu kwamba inaongeza uelewa zaid miongon mwa wahusika bali pia inarahisisha mawasiliano dhidi ya wadau na watumishi.

Kwaio, nikiwa mtaalamu na mdau wa ununuzi, ni matarajio yangu pamoja na wadau wengine katika tansia hii ya ununuzi kuona ata sheria yetu ya manunuzi pia inafata mkondo uwo.

mauka

Posts : 24
Join date : 2010-05-15

Back to top Go down

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili Empty Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

Post  RSM Mon Aug 15, 2011 5:05 pm

Kwanza naomba niipongeze PPRA kwa kuanzisha majadiliano ya ununuzi katika sekta ya umma kwa kutumia kiswahili. Kuna wadau wengi ambao walikuwa wanapenda kuchangia lakini tatizo ilikuwa ni lugha.

Niliwahi vile vile kuingia kwenye tovuti ya PPRA ambapo nilikuta nyaraka za zabuni kwa kiswahili.

Haya ni maendeleo mazuri. Wadau tuwapongeze PPRA kwa kazi yao nzuri.


RSM

Posts : 150
Join date : 2009-08-11

Back to top Go down

Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili Empty Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili

Post  Sponsored content


Sponsored content


Back to top Go down

Back to top

- Similar topics

 
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum