Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 5 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 5 Guests None
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili
4 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili
RSM Nyaraka za kiswahili ziko wapi nazitafuta sizioni.
Kama bado zipo kwa kweli ni za muhimu sana nifahamisheni. Jamii yetu ya Tanzania inazihitaji sana
Kama bado zipo kwa kweli ni za muhimu sana nifahamisheni. Jamii yetu ya Tanzania inazihitaji sana
GWK- Posts : 55
Join date : 2014-03-24
Age : 57
Location : DAR ES SALAAM
Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili
RSM wrote:Kwanza naomba niipongeze PPRA kwa kuanzisha majadiliano ya ununuzi katika sekta ya umma kwa kutumia kiswahili. Kuna wadau wengi ambao walikuwa wanapenda kuchangia lakini tatizo ilikuwa ni lugha.
Niliwahi vile vile kuingia kwenye tovuti ya PPRA ambapo nilikuta nyaraka za zabuni kwa kiswahili.
Haya ni maendeleo mazuri. Wadau tuwapongeze PPRA kwa kazi yao nzuri.
Nami pia naunga mkono ,suala hili ni jema sana.
Rutaihwa- Posts : 58
Join date : 2011-09-29
Age : 57
Re: Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili
Kwanza, Nami niwapongeze PPRA,kwa kazi nzuri wanayoendelea kuifanya hasa hasa katika utumiz wa kiswahili katika ununuzi wa bidhaa. Ni ukweli uliodhahir kuwa matumiz ya kiswahili katika nyaraka mbalimbali kama tulivoona katika nyaraka za zabuni. Siyo tu kwamba inaongeza uelewa zaid miongon mwa wahusika bali pia inarahisisha mawasiliano dhidi ya wadau na watumishi.
Kwaio, nikiwa mtaalamu na mdau wa ununuzi, ni matarajio yangu pamoja na wadau wengine katika tansia hii ya ununuzi kuona ata sheria yetu ya manunuzi pia inafata mkondo uwo.
Kwaio, nikiwa mtaalamu na mdau wa ununuzi, ni matarajio yangu pamoja na wadau wengine katika tansia hii ya ununuzi kuona ata sheria yetu ya manunuzi pia inafata mkondo uwo.
mauka- Posts : 24
Join date : 2010-05-15
Hongereni kwa kutuwezesha kujadiliana kiswahili
Kwanza naomba niipongeze PPRA kwa kuanzisha majadiliano ya ununuzi katika sekta ya umma kwa kutumia kiswahili. Kuna wadau wengi ambao walikuwa wanapenda kuchangia lakini tatizo ilikuwa ni lugha.
Niliwahi vile vile kuingia kwenye tovuti ya PPRA ambapo nilikuta nyaraka za zabuni kwa kiswahili.
Haya ni maendeleo mazuri. Wadau tuwapongeze PPRA kwa kazi yao nzuri.
Niliwahi vile vile kuingia kwenye tovuti ya PPRA ambapo nilikuta nyaraka za zabuni kwa kiswahili.
Haya ni maendeleo mazuri. Wadau tuwapongeze PPRA kwa kazi yao nzuri.
RSM- Posts : 150
Join date : 2009-08-11
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK