Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 18 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 18 Guests :: 1 BotNone
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
2 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
TENDA IKIKOSA MUOMBAJI
PE inapotangaza Tenda na kukosa muombaji inabidi ijiridhishe pasinashaka kwamba taarifa ya kuwepo kwa tenda husika iliwafikia wazabuni wengi hii itaonekana kwenye list ya bidders walio nunua document. Kama list inaridhisha yaan wengi walinua document basi hapo yaweza kuwa ama specifications zimekua ngumu au muda ulikua mdogo kuweza kuandaa responsive tender
pia kama tender zilizonunuliwa ni chanche sana lakini wazabuni wengi walijitokeza kukagua tender documnet kabla ya kununua na hawakuweza kununua basi hapo yawezekana specs hazijakaa vizuri
pia kama wazabuni hawakujitokeza kabisa hata kuja kukagua document basi hapo ni wazi kua taarifa haukuwafikia vizuri au haikufika kwa wakati
suluhisho kwa namna hiyo huwa ni kufanya mapitio kwenye technical specs na ku tangaza tena upya lakin hapa inabidi kutangaza kwenye media ambayo ina wider circulation.
pia kama tender zilizonunuliwa ni chanche sana lakini wazabuni wengi walijitokeza kukagua tender documnet kabla ya kununua na hawakuweza kununua basi hapo yawezekana specs hazijakaa vizuri
pia kama wazabuni hawakujitokeza kabisa hata kuja kukagua document basi hapo ni wazi kua taarifa haukuwafikia vizuri au haikufika kwa wakati
suluhisho kwa namna hiyo huwa ni kufanya mapitio kwenye technical specs na ku tangaza tena upya lakin hapa inabidi kutangaza kwenye media ambayo ina wider circulation.
thanksme- Posts : 19
Join date : 2012-04-18
Age : 44
Location : Dar Es Salaam
TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Habari
Hivi ni hatua gani ambazo watu wa manunuzi wanapaswa kufanya iwapo tenda iliyotangazwa inakosa muombaji.
Asante
Hivi ni hatua gani ambazo watu wa manunuzi wanapaswa kufanya iwapo tenda iliyotangazwa inakosa muombaji.
Asante
MKUDE- Posts : 1
Join date : 2014-11-08
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK