Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 11 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 11 Guests :: 3 BotsNone
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
PRE- TENDER MEETING- Naombeni mawazo yenu ya maelekezo
3 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Re: PRE- TENDER MEETING- Naombeni mawazo yenu ya maelekezo
Mr.Zubeir H. Zubeir wrote:tumetangaza kwa ajili ya kufanya "construction proposal" ya tawi moja la wizara huku zanzibar. Wizara tumefanya 'site visit"na Pre- Tender meeting kwa ajili ya kufafanua na kueka sawa mambo pamoja na kujibu maswali yanayhusu ujenzi ule yanayoweza kutokea katika hatua hii ya tenda.
wakati wa kufanya "site visit"na "pre tender meeting" mzabuni mmoja alikuja na suala juu ya namn gani tenda itafanyiwa evaluation"how tender will be evaluated"
suali:
1)mimi nikiwa kama mtu wa PMU ambae nimehudhuria ktk kikao,nini nishauri wakati wa kufanya site visiting?
2)niwafanyeje wale wazabuni ambao hawakuhudhuria ktk site visit wala pre tender meeting ambao hawatoookua na uwezo wa kuwa aware juu ya isssue?
nawasilisha mada kwenu kwa mawazo zaidi
Pamoja na majibu mazuri yaliyotolewa naona kuna jambo katika bidding document yako ambalo mmojawapo wa washauri ameliona na ndio akafikia kuuliza mtakavyofanya tathmini kulingana na hali halisi aliyoiona site na yaliyomo kwenye RFP/ToR. Nashauri ueleze mshauri huyu swali lake liliegemea wapi ili wadau wachambue kwa ajili ya utendaji wa baadae kwani nadhani zabuni uliyokuwa unaulizia itakuwa imekamilika.
Site meetings zinasaidia sana ambapo mara nyingine inafikia kurekebisha baadhi ya mambo kwa ajili ya kuboresha utendaji na matokeo ya mradi. Mfano soma Procurement Journal no 18 of Tuesday May 6, 2014 pg4. Utaona Taasisi ilivyoamua kuongeza muda wa uwasilishaji baada ya kupata maoni/maswali toka kwa mshauri mmojawapo, katafakari maoni hayo na ikaonekena yatasidia utekelezaji wa mkataba.
Nasubiri kusoma base ya swali la mshauri ndugu yangu
GWK- Posts : 55
Join date : 2014-03-24
Age : 56
Location : DAR ES SALAAM
Re: PRE- TENDER MEETING- Naombeni mawazo yenu ya maelekezo
Zuberi!
Zingatia yafuatyo;-
-Site visit au Pre-Bid meeting sio kikao cha kupanga mufmo wa kufanya uchambuzi wa zabuni. Wenye kufanya uchambuzi ni Kamati ya uchambuzi ambayo inatambulika kisheria na hata hivyoi kamati hiyo inafanya uchambuzi kwa kufuata vigezo linganifu ambavyo tu viliwekwa kwa bidding document na si vinginevyo
-Site visiti lengo lake sio kuzungumzia jinsi yeyote ya procurement process. Kazi yake ni kufafanua masuala yote yanyohusu tender hiyo hasa kwenye muanisho wa mahitaji kama kwa namna moja au nyingine yameleta utata kwa wazabuni. Pili kutoa ufafanuzi kuhusu uelewa zaidi wa mradi husika kwa wazabuni ili uwasaidie katika uandaaji wao wa maombi husika ya zabuni.
-Mara baada ya kikao hicho PMU andaa minutes za kikao hicho na yaliyojili kwenye kikao na watumie wote walioshiriki na wasioshiriki kwa kuwa mawasiliano yao unayo. Hii inakuwezesha kutoa taarifa sawa kwa wote walioshirki kwenye zabuni hiyo.
-PMU na yeyote yule hata kama wajumbe wa Bodi ya zabuni wangekuwepo pale hawana mamlaka tena ya kupanga jinsi gani uchambuzi wa zabuni ufanyike.
Nawasilisha!
Zingatia yafuatyo;-
-Site visit au Pre-Bid meeting sio kikao cha kupanga mufmo wa kufanya uchambuzi wa zabuni. Wenye kufanya uchambuzi ni Kamati ya uchambuzi ambayo inatambulika kisheria na hata hivyoi kamati hiyo inafanya uchambuzi kwa kufuata vigezo linganifu ambavyo tu viliwekwa kwa bidding document na si vinginevyo
-Site visiti lengo lake sio kuzungumzia jinsi yeyote ya procurement process. Kazi yake ni kufafanua masuala yote yanyohusu tender hiyo hasa kwenye muanisho wa mahitaji kama kwa namna moja au nyingine yameleta utata kwa wazabuni. Pili kutoa ufafanuzi kuhusu uelewa zaidi wa mradi husika kwa wazabuni ili uwasaidie katika uandaaji wao wa maombi husika ya zabuni.
-Mara baada ya kikao hicho PMU andaa minutes za kikao hicho na yaliyojili kwenye kikao na watumie wote walioshiriki na wasioshiriki kwa kuwa mawasiliano yao unayo. Hii inakuwezesha kutoa taarifa sawa kwa wote walioshirki kwenye zabuni hiyo.
-PMU na yeyote yule hata kama wajumbe wa Bodi ya zabuni wangekuwepo pale hawana mamlaka tena ya kupanga jinsi gani uchambuzi wa zabuni ufanyike.
Nawasilisha!
id2013- Posts : 50
Join date : 2013-07-17
PRE- TENDER MEETING- Naombeni mawazo yenu ya maelekezo
tumetangaza kwa ajili ya kufanya "construction proposal" ya tawi moja la wizara huku zanzibar. Wizara tumefanya 'site visit"na Pre- Tender meeting kwa ajili ya kufafanua na kueka sawa mambo pamoja na kujibu maswali yanayhusu ujenzi ule yanayoweza kutokea katika hatua hii ya tenda.
wakati wa kufanya "site visit"na "pre tender meeting" mzabuni mmoja alikuja na suala juu ya namn gani tenda itafanyiwa evaluation"how tender will be evaluated".
suali:
1)mimi nikiwa kama mtu wa PMU ambae nimehudhuria ktk kikao,nini nishauri wakati wa kufanya site visiting?
2)niwafanyeje wale wazabuni ambao hawakuhudhuria ktk site visit wala pre tender meeting ambao hawatoookua na uwezo wa kuwa aware juu ya isssue?
nawasilisha mada kwenu kwa mawazo zaidi
wakati wa kufanya "site visit"na "pre tender meeting" mzabuni mmoja alikuja na suala juu ya namn gani tenda itafanyiwa evaluation"how tender will be evaluated".
suali:
1)mimi nikiwa kama mtu wa PMU ambae nimehudhuria ktk kikao,nini nishauri wakati wa kufanya site visiting?
2)niwafanyeje wale wazabuni ambao hawakuhudhuria ktk site visit wala pre tender meeting ambao hawatoookua na uwezo wa kuwa aware juu ya isssue?
nawasilisha mada kwenu kwa mawazo zaidi
Similar topics
» HALMASHAURI ZINA MATATIZO GANI NA WAZABUNI WALIO KWENYE VAT?
» IS IT RIGHT TO INVITE THE EC CHAIRPERSON TO TENDER BOARD MEETING
» Tender board meeting:- Attendance by Non-members.
» Tender Proceeding
» Naomba Ushauri wa maelekezo
» IS IT RIGHT TO INVITE THE EC CHAIRPERSON TO TENDER BOARD MEETING
» Tender board meeting:- Attendance by Non-members.
» Tender Proceeding
» Naomba Ushauri wa maelekezo
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK