Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 3 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 3 Guests None
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
USHIRIKA WA KAMPUNI MPYA KWENYA ZABUNI.
4 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
USHIRIKA WA KAMPUNI MPYA
I agree, new companies face alot of challenges when it comes to tenders, incase your facing challenges on Bid securities and performance bonds, please feel free to contact me ill be of great help as i know you need to free your cashflows, kenpaulite at gmail.com
kenpaulite- Posts : 3
Join date : 2018-03-05
USHIRIKI WA KAMPUNI MPYA KWENYA ZABUNI.
Nungana na Ndugu Elly katika ushauri wa jinsi ya kufanya.
Hata hivyo inapaswa kujikumbusha kuwa Mamlaka (PPRA) huandaa standard tender documents kwa matumizi ya taasisi nunuzi kwa kuzingatia sheria ya ununuzi wa umma na kanuni zake.
Kwa Mujibu wa kanuni ya 9 kanuni ndogo ya 5 ya Kanuni ua Ununuzi wa Umma ya mwaka 2013 (pamoja na marekebisho yake 2016) kipengele cha Eligibility, inasomeka hivi An eligible tenderer shall provide to the procuring entity evidence of his eligibility, proof of compliance with the necessary legal, technical and financial requirements and their capability and, adequacy of resources to carry out the contract effectively.
Kanuni ya 9(11)b pia anasema hivi ....
A tender to be submitted shall contain the following information:
details of the experience and past performance of the tenderer or of each party to a joint venture on contracts of a similar nature and details of other contracts in hand including details of the actual and effective participation in each such contract;
Pia kanuni ya 9(11)e inasomeka hivi...Bidders shall submit ....reports on the accounting and financial standing of the tenderer or of each party to a joint venture such as profit and loss statements, balance sheets and auditor's reports, an estimated financial projection for the next two years, and an authority from the tenderer or authorized representative of a joint venture to seek references from the tenderer’s bankers;
Kwa maana hiyo, Kumbe standard tender documents zinazotumiwa na taasisi nunuzi zimetohololewa toka kwenye kanuni za Ununuzi ambazo nazo zimetoholewa toka kwenye sheria ya ununuzi mbayo si sheria ya PPRA ni sheria za nchi zihusuzo ununuzi wa Umma.
Pata uzoefu kwa mujibu wa ushauri wa Kombe, Jisajiri GPSA, anza na kazi ndogondogo jiunge na Ma-giant uwe kama sub supplier/sub contractor pata uzoefu, tengeza hayo mahesabu vizuri then tambaa, simama kwa miguu yako, tembea kisha kimbia kabla ya kuruka.
Chilongani 2018
Hata hivyo inapaswa kujikumbusha kuwa Mamlaka (PPRA) huandaa standard tender documents kwa matumizi ya taasisi nunuzi kwa kuzingatia sheria ya ununuzi wa umma na kanuni zake.
Kwa Mujibu wa kanuni ya 9 kanuni ndogo ya 5 ya Kanuni ua Ununuzi wa Umma ya mwaka 2013 (pamoja na marekebisho yake 2016) kipengele cha Eligibility, inasomeka hivi An eligible tenderer shall provide to the procuring entity evidence of his eligibility, proof of compliance with the necessary legal, technical and financial requirements and their capability and, adequacy of resources to carry out the contract effectively.
Kanuni ya 9(11)b pia anasema hivi ....
A tender to be submitted shall contain the following information:
details of the experience and past performance of the tenderer or of each party to a joint venture on contracts of a similar nature and details of other contracts in hand including details of the actual and effective participation in each such contract;
Pia kanuni ya 9(11)e inasomeka hivi...Bidders shall submit ....reports on the accounting and financial standing of the tenderer or of each party to a joint venture such as profit and loss statements, balance sheets and auditor's reports, an estimated financial projection for the next two years, and an authority from the tenderer or authorized representative of a joint venture to seek references from the tenderer’s bankers;
Kwa maana hiyo, Kumbe standard tender documents zinazotumiwa na taasisi nunuzi zimetohololewa toka kwenye kanuni za Ununuzi ambazo nazo zimetoholewa toka kwenye sheria ya ununuzi mbayo si sheria ya PPRA ni sheria za nchi zihusuzo ununuzi wa Umma.
Pata uzoefu kwa mujibu wa ushauri wa Kombe, Jisajiri GPSA, anza na kazi ndogondogo jiunge na Ma-giant uwe kama sub supplier/sub contractor pata uzoefu, tengeza hayo mahesabu vizuri then tambaa, simama kwa miguu yako, tembea kisha kimbia kabla ya kuruka.
Chilongani 2018
USHIRIKI WA KAMPUNI NDOGO
Mada hii ina uhusiano na kitu kama MHITIMU mpya anasaka ajira na kila tangazo la kazi wanadai UZOEFU
Upande wa wakandarasi wana CLASS 7 hadi CLASS 1
Kwanza kampuni mpya zijitahidi kufanya walau yafuatayo:
KUKUBALI KUFANYA KAZI KAMA SUB-CONTRACTORS
KUTAFUTA KAZI NDOGO NDOGO KUJIJENGEA UWEZO NA UZOEFU
KUAJIRI WATU WENYE UZOEFU MKUBWA
KUINGIA UBIA YAANI JOINT VENTURES
Kutamani kubebwa na PPRA ni tatizo maana uzoefu mdogo maana yake una uwezo mdogo na employer hatapenda kujaribu kutumia fedha za taasisi au za umma na kupata matokeo mabaya
Upande wa wakandarasi wana CLASS 7 hadi CLASS 1
Kwanza kampuni mpya zijitahidi kufanya walau yafuatayo:
KUKUBALI KUFANYA KAZI KAMA SUB-CONTRACTORS
KUTAFUTA KAZI NDOGO NDOGO KUJIJENGEA UWEZO NA UZOEFU
KUAJIRI WATU WENYE UZOEFU MKUBWA
KUINGIA UBIA YAANI JOINT VENTURES
Kutamani kubebwa na PPRA ni tatizo maana uzoefu mdogo maana yake una uwezo mdogo na employer hatapenda kujaribu kutumia fedha za taasisi au za umma na kupata matokeo mabaya
ELLY KOMBE- Posts : 5
Join date : 2010-05-17
Age : 56
USHIRIKA WA KAMPUNI MPYA KWENYA ZABUNI.
ZINGATIA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU,
NIMEPITIA VITABU VINGI SANA VYA TENDER KUHUSu MASHARIti YA KAMPUNI KUSHIRIKI KWENYE TENDER
MASHARI HAYA YANAZUIA KAMUNI MPYA KUSHIRI KAMA VILE
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
KWA UPADE WANGU MIMI NIMESHAFANYAKAZI KWA 8 YRS KAMPUNI MBILI TOFAUTI, NA MIMI NDO NILIKUWA NINFANYA KAZI ZA TENDER KWA MARA YA KWANZA KWENY KAMPUNI HIZO, UPANDE WA LABORATORY EQUIPMENT,
NIMESHASHINDANA KWENYE KWENYE TENDER ZA ICB NCB NA NIMESHINDA TENZA ZA ABOUT 10BL HADI SASA KAMA TFDA, TBS, AFYA, MINISTRY OF WATER, NIMRI, GCLA, UDOM, NA KUFUNGA NA KUFUNDISHA JINSIYA KUTUMIA,
SASA NINA KAMPUNI YANGU MPYA, TUPO WATU WATU TULIO IVYA KWENYE TENDER MBALIMBALI, NA TUMEFANIKISHA USAJILI WA BRALLA KWA 100%,
KWA KAMPUNI MPYA HAIWEZI KUWA NA
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
SASA KAMA NYINYi PPRA, mmechuua hatua gani kwa kampuni mpya kushiriki na kuweka vigezo nafuu?
maana sisi tuna mtaji na endapa tutashida tender tutapeleka bank performance security kuthibithisha yakuwa tunaweza fanya tender
je kanini mseweke kifungu hicho kusaidia kampuni changa kushiriki?
naomba mawazo yenu na jinsi ya kampuni mpya kushiri kama imeandikatender vizuri na kilakitu kuwepo kasoro
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
NIMEPITIA VITABU VINGI SANA VYA TENDER KUHUSu MASHARIti YA KAMPUNI KUSHIRIKI KWENYE TENDER
MASHARI HAYA YANAZUIA KAMUNI MPYA KUSHIRI KAMA VILE
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
KWA UPADE WANGU MIMI NIMESHAFANYAKAZI KWA 8 YRS KAMPUNI MBILI TOFAUTI, NA MIMI NDO NILIKUWA NINFANYA KAZI ZA TENDER KWA MARA YA KWANZA KWENY KAMPUNI HIZO, UPANDE WA LABORATORY EQUIPMENT,
NIMESHASHINDANA KWENYE KWENYE TENDER ZA ICB NCB NA NIMESHINDA TENZA ZA ABOUT 10BL HADI SASA KAMA TFDA, TBS, AFYA, MINISTRY OF WATER, NIMRI, GCLA, UDOM, NA KUFUNGA NA KUFUNDISHA JINSIYA KUTUMIA,
SASA NINA KAMPUNI YANGU MPYA, TUPO WATU WATU TULIO IVYA KWENYE TENDER MBALIMBALI, NA TUMEFANIKISHA USAJILI WA BRALLA KWA 100%,
KWA KAMPUNI MPYA HAIWEZI KUWA NA
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
SASA KAMA NYINYi PPRA, mmechuua hatua gani kwa kampuni mpya kushiriki na kuweka vigezo nafuu?
maana sisi tuna mtaji na endapa tutashida tender tutapeleka bank performance security kuthibithisha yakuwa tunaweza fanya tender
je kanini mseweke kifungu hicho kusaidia kampuni changa kushiriki?
naomba mawazo yenu na jinsi ya kampuni mpya kushiri kama imeandikatender vizuri na kilakitu kuwepo kasoro
1) BANK STATEMENT SHOWING CASH FLOW
2) AUDITED FINACIAL REPORT FOR TWO TO THREE YRS
fredy msoffe- Posts : 1
Join date : 2017-11-16
Similar topics
» KATIBU WA BODI YA ZABUNI ANA UMUHIMU GANI KATIKA MAAMUZI YA VIKAO VYA BODI YA ZABUNI?
» aliyerudisha zabuni ni mmoja tuu
» Naomba ufafanuzi wa namna ya kusitisha zabuni
» aliyerudisha zabuni ni mmoja tuu
» Naomba ufafanuzi wa namna ya kusitisha zabuni
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK