Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 4 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 4 Guests None
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA YA WIZI WA KIUSTAARABU
2 posters
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Re: SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA YA WIZI WA KIUSTAARABU
Fredy,
Kwanza nakuunga mkono yote yale uliyoyasema kwenye ''paragraph'' ya 2 mstari wa 4 katika hoja yako.
Pili, mimi ile taarifa niliisoma pia na kitu cha kushangaza hapa ni kwamba Mheshimiwa pia alihusika kuitengeneza bungeni hiyo sheria na sasa nani anamlaumu?, kama hayo yote aliyafahamu yeye si ndiye alikuwa na nanafasi ya kupendekeza vyovyote vile pamoja na kuwa na mwenendo bora wa manunuzi ya umma badala ya kutumia utaratibu uliopo sasa?.
Kwa ujumla sheria ni nzuri pamoja na kwamba mapungufu hayakosekani lakini kama tutakuwa na '' Robust procurement system especially for Contract management system in Public Institutions'' haya yote hayatakuwepo yanayosemwa kwani uangalizi mkubwa na uwajibikaji wa kila mtu ukiwepo tutaepuka yote haya anayoyasema Mheshimiwa.
Tatu, uligusia suala la kulipa kiasi gani katika bidhaa au huduma inategema na ubora wa kifaa chenyewe na kwamba ubora huo pia ni tofauti na udumu wa kifaa chenyewe kwani neno ubora ni tegemezi linatokana nani na wapi an ki vipi unazungumzia ubora. Mfano, ubora wangu mimi wa shati, nione ni rangi nzuri na kwamba linanipendekza haijalishi nitalivaa na litadumu kwa muda gani. mwingine ubora wake ni kwamba lidumu kwa miaka zaidi ya 2 hata kama halivutii.
Kwa hiyo, bei, gharama na kulinganisha na ubora unaosemwa ni lazima uzinagatie gharama za kukinunua kifaa chenyewe, gharama za usafirishaji, bima, kukihifadhi au kukitunza, na kwa ujumla wake upate Cost of Benefits must be greater than cost of total ownership. Kwa nyongeza ya hapo, suala zima la ununuzi pia huhitaji uchambuzi wa kina hasa ukizingatia faida anayoipata mtumiaji, supply risks na impact of that item to an organization, mfano chaki inayotumika mashuleni ukiiangalia inaweza kuwa na thamani ndogo au gharama ndogo kwa kuinunua ila impact yake ikikosekana mashuleni ni kubwa kuliko hata kuwa hata na genereta automatic linagharimu mamilioni ya pesa.
Kwa hiyo kwa kifupi Mheshimiwa anaweza kuwa alikuwa sahihi ingawa inategemea unazungumnzia ubora au bei ya kitu ukilinganisha na vigezo vyote hivyo nilivyovitaja. Sijaisoma yote sheria na kanunzi mpya za manunuzi lakini nimekuwa nikipitia polepole vipengelea ambavyo tunavitumia kila wakati katika utendaji wetu wa kazi wa kila siku, kwa ujumla imekaa vizrui na labda sasa tuwe wavulivu tuitumie kwanza tuone wapi penye gaps, ili marekebisho yafanyike.
Naishia hapa!
Kwanza nakuunga mkono yote yale uliyoyasema kwenye ''paragraph'' ya 2 mstari wa 4 katika hoja yako.
Pili, mimi ile taarifa niliisoma pia na kitu cha kushangaza hapa ni kwamba Mheshimiwa pia alihusika kuitengeneza bungeni hiyo sheria na sasa nani anamlaumu?, kama hayo yote aliyafahamu yeye si ndiye alikuwa na nanafasi ya kupendekeza vyovyote vile pamoja na kuwa na mwenendo bora wa manunuzi ya umma badala ya kutumia utaratibu uliopo sasa?.
Kwa ujumla sheria ni nzuri pamoja na kwamba mapungufu hayakosekani lakini kama tutakuwa na '' Robust procurement system especially for Contract management system in Public Institutions'' haya yote hayatakuwepo yanayosemwa kwani uangalizi mkubwa na uwajibikaji wa kila mtu ukiwepo tutaepuka yote haya anayoyasema Mheshimiwa.
Tatu, uligusia suala la kulipa kiasi gani katika bidhaa au huduma inategema na ubora wa kifaa chenyewe na kwamba ubora huo pia ni tofauti na udumu wa kifaa chenyewe kwani neno ubora ni tegemezi linatokana nani na wapi an ki vipi unazungumzia ubora. Mfano, ubora wangu mimi wa shati, nione ni rangi nzuri na kwamba linanipendekza haijalishi nitalivaa na litadumu kwa muda gani. mwingine ubora wake ni kwamba lidumu kwa miaka zaidi ya 2 hata kama halivutii.
Kwa hiyo, bei, gharama na kulinganisha na ubora unaosemwa ni lazima uzinagatie gharama za kukinunua kifaa chenyewe, gharama za usafirishaji, bima, kukihifadhi au kukitunza, na kwa ujumla wake upate Cost of Benefits must be greater than cost of total ownership. Kwa nyongeza ya hapo, suala zima la ununuzi pia huhitaji uchambuzi wa kina hasa ukizingatia faida anayoipata mtumiaji, supply risks na impact of that item to an organization, mfano chaki inayotumika mashuleni ukiiangalia inaweza kuwa na thamani ndogo au gharama ndogo kwa kuinunua ila impact yake ikikosekana mashuleni ni kubwa kuliko hata kuwa hata na genereta automatic linagharimu mamilioni ya pesa.
Kwa hiyo kwa kifupi Mheshimiwa anaweza kuwa alikuwa sahihi ingawa inategemea unazungumnzia ubora au bei ya kitu ukilinganisha na vigezo vyote hivyo nilivyovitaja. Sijaisoma yote sheria na kanunzi mpya za manunuzi lakini nimekuwa nikipitia polepole vipengelea ambavyo tunavitumia kila wakati katika utendaji wetu wa kazi wa kila siku, kwa ujumla imekaa vizrui na labda sasa tuwe wavulivu tuitumie kwanza tuone wapi penye gaps, ili marekebisho yafanyike.
Naishia hapa!
id2013- Posts : 50
Join date : 2013-07-17
SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA YA WIZI WA KIUSTAARABU
Katika gazeti la Mwananchi la tarehe 7 Februari 2014 kulichapishwa taarifa yenye kichwa habari kinachosomeka "Sheria ya Ununuzi wa Umma Wizi wa Kiustaarabu" Mwandishi alikuwa akiripoti kuhusu kikao cha Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mwigulu Nchemba na wakurugenzi wa halmashauri na wafanyabiashara wa Mbeya. Aidha mwandishi alieleza jinsi Mh Waziri alivyo kerwa na ufisadi katika shuguli za ununuzi wa umma na ukusanyaji kodi. Alitoa mifano miwili inahusu ununuzi. Mfano mmoja ni kuhusu ununuzi wa soksi alisema nanukuu “mtu binafsi akinunua soski dukani analipa sh. 2,000, lakini akitumia sheria ya ununuzi soksi ya aina ilie ile itanunuliwa kwa sh. 80,000” mfano wa pili ni kuhusu ununuzi wa tiketi ya ndege kwamba ticket ya safari hiyo hiyo kibinafsi inapatikana kwa Sh.1 millioni lakini sheria ya ununuzi ikitumika ticketi inapatikana kwa sh. 4 million.
Nilivyosoma habari ilinigusa sana ukizingatia kauri hiyo inatolewa na waziri mwenye dhamana na sheria hii nikaona vema nilete kwenye jukwa letu tujadili na kuweka mambo sawa. Nijuavyo mimi sheria ya ununuzi na kanuni mpya ndiyo kwanza zimeanza kutumika hivyo basi ni mapema sana kutathimini ubora na udhaifu wake. Ingawa sijapitia sehemu kubwa ya sheria na kanuni naona kunamaboresho makubwa ambayo tukijipa muda wa kutumia ufanisi unaweza kuongezeka. Pili swala ununuzi wa umma una changamoto nyingi zinazohusisha maswala na wadau mbalimbali. Mathalan swala la bei linategemea mambo mbalimbali kama muda wa malipo, unapolipa taslimu au kukopa, mabadiliko ya fedha nje, ubora wa bidhaa n.k. Kwa upande mwingine nasi watekelezaji tunaweza kuhusika endapo tutangalia maslahi binafsi. Jee tatizo ni sheria au watekelezaji? Wenzangu mnasemaje?
freddy.mbeyella- Posts : 74
Join date : 2009-08-25
Similar topics
» NAHITAJI KUJUA KAMA KUNA EXCEPTIONS ZOZOTE KATIKA KUFANYA PUBLIC PROCUREMENT BILA KUINVITE TENDERS AU KUFANYA ADVERTISING
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
» Kwanini sheria ya Ununuzi hairuhusu ku Negotiate Price?
» Naomba kupatiwa sheria inayounda TEMESA na kanuni zake za utekelezaji wa majukumu
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
» Kwanini sheria ya Ununuzi hairuhusu ku Negotiate Price?
» Naomba kupatiwa sheria inayounda TEMESA na kanuni zake za utekelezaji wa majukumu
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK