Latest topics
Statistics
We have 1676 registered usersThe newest registered user is esagile
Our users have posted a total of 1240 messages in 351 subjects
Who is online?
In total there are 7 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 7 Guests None
Most users ever online was 225 on Sun Oct 03, 2021 4:24 pm
Halmashauri zina matatizo gani na wazabuni walio kwenye VAT
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Halmashauri zina matatizo gani na wazabuni walio kwenye VAT
Yusuph
Naona usijumuishe Halmashauri zote kwamba zina matatizo hayo. Kwa tafsiri yangu ulitakiwa kufuata taratibu za kutoridhika na maamuzi yaliyofanywa dhidi yako kama yalivyoelekezwa kwenye ITT. Nimeangalia ITT clause 15.3 (small works) na ITT clause 14.3 (medium & large works) kwa pamoja zinasema "All taxes and other levies paid by contractor under the contract ..............shall be included in the rates, prices and total tender prices submitted by the tenderer". Mara nyingi nimeona kodi ya ongezeko la thamani ikikokotolewa baada ya jumla kama ulivyofanya.
Vilevile jaribu kukagua hesabu zako uone kama ulikokotoa (rates)/bei yako vizuri na kama uliondoa VAT kwenye bei ya vifaa kama bati, siment nk. na hivyo ulivyokokotoa kwenye jumla bei yako ikawa kubwa. Kwa mfano, Kifaa kinauzwa duka la jumla 1,000,000+18% =1,180,000. Ukinunua kifaa hiki kwa ajili ya kuuza kwa rejareja na ukafanya (1,180,000 x %faida)+((1,180,000x%faida)x18%) unakuwa umeuza bei ya juu sana. Kama faida yako ni 20% ungeuza sh 1,670,880/=. Nadhani watu wengi huwa tunasahau na bei zetu kuwa kubwa kuliko inavyostahili. Na kwa kweli elimu ya kukokotoa na kutengeneza rate shindani ni muhimu sana.
Naona usijumuishe Halmashauri zote kwamba zina matatizo hayo. Kwa tafsiri yangu ulitakiwa kufuata taratibu za kutoridhika na maamuzi yaliyofanywa dhidi yako kama yalivyoelekezwa kwenye ITT. Nimeangalia ITT clause 15.3 (small works) na ITT clause 14.3 (medium & large works) kwa pamoja zinasema "All taxes and other levies paid by contractor under the contract ..............shall be included in the rates, prices and total tender prices submitted by the tenderer". Mara nyingi nimeona kodi ya ongezeko la thamani ikikokotolewa baada ya jumla kama ulivyofanya.
Vilevile jaribu kukagua hesabu zako uone kama ulikokotoa (rates)/bei yako vizuri na kama uliondoa VAT kwenye bei ya vifaa kama bati, siment nk. na hivyo ulivyokokotoa kwenye jumla bei yako ikawa kubwa. Kwa mfano, Kifaa kinauzwa duka la jumla 1,000,000+18% =1,180,000. Ukinunua kifaa hiki kwa ajili ya kuuza kwa rejareja na ukafanya (1,180,000 x %faida)+((1,180,000x%faida)x18%) unakuwa umeuza bei ya juu sana. Kama faida yako ni 20% ungeuza sh 1,670,880/=. Nadhani watu wengi huwa tunasahau na bei zetu kuwa kubwa kuliko inavyostahili. Na kwa kweli elimu ya kukokotoa na kutengeneza rate shindani ni muhimu sana.
GWK- Posts : 55
Join date : 2014-03-24
Age : 56
Location : DAR ES SALAAM
Similar topics
» HALMASHAURI ZINA MATATIZO GANI NA WAZABUNI WALIO KWENYE VAT?
» Kwa nini Bei za Wazabuni zitofautiane na Mikataba walioingia na GPSA?
» KILIO KWA WATAALAMU WA MANUNUZI WA HALMASHAURI NCHINI
» Kwanini sheria ya Ununuzi hairuhusu ku Negotiate Price?
» kwanini matengenezo ya magari ya serikali yanatengenezwa kwa bei za juu kuliko ya binafsi
» Kwa nini Bei za Wazabuni zitofautiane na Mikataba walioingia na GPSA?
» KILIO KWA WATAALAMU WA MANUNUZI WA HALMASHAURI NCHINI
» Kwanini sheria ya Ununuzi hairuhusu ku Negotiate Price?
» kwanini matengenezo ya magari ya serikali yanatengenezwa kwa bei za juu kuliko ya binafsi
Tanzania Public Procurement Forum :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI :: MAJADILIANO KWA LUGHA YA KISWAHILI
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Wed Dec 18, 2019 9:13 pm by yohanaamon@yahoo.com
» Is non-submission of invalid CRB receipt voucher a major deviation?
Tue Dec 17, 2019 1:00 am by RJM
» MAKANDARASI KUWEKWA NDANI KWA KUTOKAMILISHA MIRADI NDANI YA MUDA
Tue Dec 17, 2019 12:46 am by RJM
» How Supplier can register in e-Procurement system (TANePS)
Thu Dec 12, 2019 5:48 am by pms
» Kukosekana risiti ya ununuzi wa tenda
Sat Apr 27, 2019 6:05 pm by ALLY MUNIR
» IS IT TIME TO THINK OF DEACTIVATING TENDER BOARDS AND INTRODUCE A MECHANISM OF PROCUREMENT PROFESSIONAL OPINION?
Thu Apr 11, 2019 3:40 pm by pms
» e-Procurement System is now operational
Thu Apr 11, 2019 3:14 pm by Admin
» TENDA ZINAPOKOSA WAOMBAJI
Thu Jan 10, 2019 10:42 pm by thanksme
» Attendance of District Treasurer in Council Tender Board meetings
Mon Mar 19, 2018 8:57 pm by GWK